YANGA YAPANGWA NA SINGIDA UNITED MAPINDUZI CUP

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania bara timu ya soka ya Yanga imepangwa kundi moja na Singida United katika ushiriki wa michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu huko visiwani Zanzibar.

Yanga imepangwa katika kundi B lenye jumla ya timu sita huku kundi A lenye timu za Simba na Azam FC lina jumla ya timu tano.

MAPINDUZI CUP JANUARY 2018

*GROUP A*
1.Azam FC 
2.Jamhuri SC
3.Mwenge SC
4.Simba SC 
5.URA

**GROUP B*
1.JKU
2.Mlandege FC.
3.Singida United
4.Taifa ya Jang'ombe
5.Yanga SC na
6.Zimamoto

No comments