LEWIS HAMILTON ATAMBA KUMSHINDA SEBASTIAN

Dereva wa magari ya Langalanga Muingereza Lewis Hamilton anasema ana uhakika atamshinda Sebastian Vettel katika mashindano ya dunia ya Australian Grand Prix.


Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa na mtandao wa BBC,Hamilton alimaliza wa pili kwa Mjerumani huyo wakati wa kuanza kwa msimu mjini Melbourne, kufuatia shinikizo la mwendo wa kasi wa dereva huyo wa Ferrari.


"Litakuwa shindano kali, nina imani kuwa tutawashinda," Hamilton alisema.
"Ni vizuri tutakuwa shindano hili kali"
"Kuna kazi kubwa mbeleni, tuna mengi ya kufanya lakini hata hivyo tuko na furaha," alisema Vettel.


Hamilton naye amesema kuwa anachotarajia ni ushindani ulio mkali na Vettel mwaka huu wote.



No comments