MAYANJA AWAPONGEZA MASHABIKI WA SIMBA
 Kocha
 msaidizi wa timu ya soka ya Simba Jackson Mayanja amewapongeza 
mashabiki wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanjani katika uwanja wa 
Uhuru na kuiwezesha timu kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Totot 
Africans.
Mayanja
 amesema kwamba mashabiki wamekuwa na msada mkubwa kwa timu kwani tangu 
kuanza kwa ligi wameonekana kuiunga mkono timu yao katika mechi 
mabalimbali za ligi.
Post a Comment